MKE MWENZANGU ANATAKA KUNIROGA |NILIFUMANIWA NILIPIGWA SANA |NYWELE ZANGU SEHEMU ZA SIRI..
8,165
Published 2022-07-03
All Comments (21)
-
πππ Leo fabi kapatikana ππ,tanga tuko vizuri bhanaa π
-
Aiseee asilimia kubwa ya Sisi Wana wake tumekosa haya subhanallah
-
Fabi ogera unauliza maswali ipasavyo boy tunakufatilia sn uku π°πͺπ°πͺπ°πͺππΌπ₯
-
Mmmh C kwa umalaya huo ,,,muogope Mungu ndg yangu,ππ
-
Kwauzuri unaowakawaida hujaona wazuri kunawazuri bidada mashaallah mungu anaumba kunawazuri hushibi kumtazama kwakweli hapo bidada ukisimama body kama π balloon afadhali uwe mrefu ukiwa mfupi yooooo nibalaa
-
Japo na unene ulo nao lkn kwa 22 age hatudanganyikiiiπππyn Leo fabi umetuletea mdangaji alieshindikana π€£π€£na siimalizii kusikiliza upuuzi huu πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
-
Kwa mwili huu ana miaka 22 duuh mtihan
-
Hapa leo tumepigwa na kitu kizito kichwani. Naona tunadangiwa kwa kodi π π π π
-
Wanasemaga mapenzi yalikozawa lkn bado unadanga nahata hujlikani km upo kwenye mahusiono kwanini namapenzi mwayajua au nisifa tu
-
Mbona huyu Dada anaonekana ni mtu mzima ? ππ Eti ana miyaka 22 ???????
-
Mtu umejuana nae siku 2 amwambie anakupenda sanaπ€£π€£π€£
-
Sio kwa ubaya lakini huyu dada mbona ana asili ya umalaya yani unatumika ovyo kwaajili ya pesa? Huko nikudanga Ungeutunza mwili wako hadi upate mwanaume serious lakini unapiga Umalaya kwa kutumia urembo wako utakuja kuuliwa kuwa makini dunia ni tambara bovu ni heri ubaki Single ukijiheshimu pia utaheshimiwa
-
Uongooo umekisiri sana hii Tz yetu π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππππππππ€£π€£π€£π€£ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
-
Nasoma comment kwanza
-
Maskini mama ake aliifurahia alivoibeba hii mimba maskini mtoto mwenyewe ndo huyu
-
Aaah mm hapo kwa miaka sio kweli kabisa lina miaka 37/38 alafu chengine ni malaya sana huyu mtu eti niite binti binti gani ww una miaka mingi tena wadanganya watu na waliwa na kila mtu jamani Fabi nae leo mdomo umebaki wazi Hahahaa
-
Huyu Dada ni Mdangajii" Kisha ni Tamaa tu! Ww utakaa vipi na Mume wa mtu hata hujafkiria Akuoe' huyu Dada akili ziro" hafai hata kua mke kwa Nyumba.
-
ππ€£π€£π€£ππnimecheka acha tu π
-
Mbona kama hajielewi
-
Napenda unapoongea unamtizama mtu usoni na hayo macho yako yananimaliza mm sio danga nipo omani natafuta bac tu nimekupenda