EXCLUSIVE: DAKIKA ZA MWISHO ZA GARDNER NA BABA YAKE MZAZI "ALINIAMBIA USIPANIKI USIJE KUFA"
193,306
Published 2024-04-22
All Comments (21)
-
Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
-
😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara
-
Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G
-
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
-
Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.
-
Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana
-
Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.
-
MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.
-
Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo
-
Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭
-
Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana
-
Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner
-
Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.
-
Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.
-
Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo
-
Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.
-
Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah
-
Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏
-
Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako
-
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah