SIKILIZA QUR'AN IKISOMAWA NA MSHINDI WAKWANZA KATIKA MASHINDANO MAKUBWA YA QUR'AN AFRIKA NZIMA
89,521
Published 2024-03-24
All Comments (21)
-
Let me be honesty i’m not a muslim but i like to listen a Quraan🙌🙌
-
Huyu amehifadhi kwa kuisoma na kuiyandika pia,,,, Allah amuweke mbali na vitu vitakavosababisha kutoisoma Quran
-
Sitochoka Kumomba Allah,Atujaalie Vijana Hawa,wanao tengezwa na Masheikh wetu Allah awahifadhi na Awabariki Kwa Kazí yao hii,Wanatengeza Warithi Wema wakuchukua Pahala pao.Allah awakuze katika Khulaka ya Qurani.Ili Dunia iwe na Amani.❤
-
Sheikh Kishki wewe ndiye uliyyepanga na Allah akuibariki mipango ya kutuwezesha sisi kuisikiliza Quran hii. Allah akupe jazaa hapa duniani nakesho akhera akupe Firdaus. Amiin
-
Mashallah hakika Uislam nibdin ya haki unaskiliza Quran mwili unakusisimka machoz ynakuto❤❤❤
-
Mash Allah nimetani awe mwanangu wa kumzaa. Allah akuhifadhi kijana wetu Quran hii uliyo ihifadhi iwe ije na manufaa kwetu sote Allahuma Amiin.
-
MashaAllah tabarak Rahman,,,,I'm proud to be amuslim Alhamdullah
-
ALLAH atuhifadhie na awaongoze watoto wetu Nasi atupe nguvu wakujua umuhimu wakuisoma Quran nakuisomesha
-
Hongereni sana. Mimi ni mkristo ila kwa hili mmetuacha mabali sana. Hivi ndivyo inavyotakiwa kuhifadhi maneno ya mwenyezi Mungu vifuani mwetu. Inaweza kutuepusha na hila za ibilisi za kuchakachua maagizo ya Mungu
-
Mashaallah kwa siku yakwanza natamani kuwa kama huyu kijana yaa rabbi tujaalie mwisho mwema ummaat Muhammad🤲🤲 Wajaarie shufai wagonjwa waliopo mahospitlin na majumbani🤲🤲 pia warehemu ndugu zetu waliotangulia mbele za haki🤲🤲... na utujaarie vizazi vyenye kukutii na kukuogopa yaa rabbi Allahumma Ameen🤲🤲🤲
-
Maa shaa Allah Huyu alistahili ni zaidi ya kila kitu Huyu kajua kuzipa haki harfu na hifdhi yake Ipo saaaaaaaaafi kabisa Hiyo Ndio WEST AFRICA 🌍
-
ALHAMDULILLAH QUR'AAN TAKATIFU IBARIKIWE 🙏
-
ALLAH AMZIDISHIE ELIMU YENYE MANUFAA ALLAH AWAZIDISHIE KHERI NYINGI WAZAZI WAKE .
-
Afanyiwe mpango ashiriki Yale mashindano ya Quran ya Dubai pia Inshallah
-
Mungu awafanyie wepesi wote pamoja na wazamini wetu
-
Mashaallah hukmu za herufi amezitendea haki❤❤❤
-
❤ ماشاء الله تبارك الرحمن Allah akubariki na akupe umri mrefu ameen
-
Allah akuhifadhi akupe hekma na busara kwenye dini na dunia kwenye kheir akuepushe na machafu
-
Maashallah wabaarikillahu fiyk,hivi ndivo quran inavo takiwa kusomwa,na sio kuchukua hao maceleb wenu wanao ikanyaga quran bila kuipa haki zake kisha mnawasifu eti wanasoma quran vizuli,jaman tusiichezee quran tafazal hivi ndivo inavo somwa mola awajalie wao na sisi kwa kila alo shiriki kwènye shindano hili elimu ynye manufaa mbeleni na daima waendelee kuihifadhi quran ktka vfua vyao yaa rabb,Aamm thumma Aaamin 🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
-
Mashaallah Allah atufanyie wepesi sisi na watoto wetu wawe miongoni mwa wanaoisoma kuhifadhi Quran, mkono kwa mkono mpaka peponi