EXPOSED: FEARLESS PASTOR EZEKIEL'S SON EXPOSES FREEMASON PASTORS AND SACRIFICES THEY OFFER
37,563
Published 2024-07-09
All Comments (21)
-
Barikiwa kijana.Mungu akuweke.Watu wamepofushwa kabisa,kabisa kwa miujiza ya shetani.Wataangamia kama mavi yao wenyewe
-
May the heavens protect you amen 🙏
-
Weh life is spiritual guys be careful na hizi makanisa devil is liar
-
Yaani mpaka Sasa ivi watu hamna macho ya kuona yanayoendelea duniani ombeni Sana mpate macho ys ROHONI, don't be deceived
-
This guy alikombolewa kwa pastor Ezakiel na amesaidia vijana wengi,. may God bless you 🙌
-
Kuweni macho fikra zenu zinatekwa na urongo kuficha yanayo onekana wazi.
-
Si mtu asikize story vizuri B4 commenting surely. Comment here and story he is saying don't arign. Don't run to comment. Guy speaks the truth as he said kwa church. He repent from the worse he was doing before
-
Mungu haku sameee kijana kwa ku shuudiya maneno ya huwngo. Wewe wata kufatiliya huna kitu gani.
-
Aaaiii huyo kweli sio kijana wa Pastor Ezekiel? Pengine mamake alienda mpango wa Kando kiasi. Sura na kichwa zinafanana na Pastor Ezekiel, sauti Yake inasikika kama sauti ya Pastor Ezekiel.
-
Weeeeh sina maoni lakini Im sorry for these people who think that watu awajui kile wanasema wanapo sema kuna uovu mahali
-
Powerful man of God,pastor Ezekiel,you know that in your world of darkness and you fear him
-
this is not ezekiels son, he calls himself so
-
Personally pst Ezekiel i have never trusted him. I have no issue with people who trust him
-
Mungu akuhurumie kijana,bure utakufa vibaya,🤔alafu.mwanz mwanzo ya store inadanya.kwa wajungaji
-
Hahaha hata ukimpiga hatutoki uko aibu kwako ulikuwa unaenda ndo upate sifa online.
-
Huyu kijana hajasema chochote kibaya ni nyinyi hamsikizi story yake vizuri munaongea tu bila kumuelewa
-
The devil is a lier
-
Mbona mnapenda kuharibia watumishi wa mungu Majina Mungu awaangamize kwa upanga.
-
hope ametaja babake before niwatch
-
Uombee mungu msamaha angalau atakuhurumia. Wewe unayeeneza uvumi wa uongo kuhusu watumishi wa mungu kitakuramba.