Vita Vimekoma
377,918
Published 2017-06-22
All Comments (21)
-
Toka mdogo nilikuwa naupenda huu wimbo mpaka leo 2024 mpaka sasa na miaka 38
-
hizi nyimbo ni nzuri sana sababu zina nguvu ya Mungu naamini hamkutumia akili kuzitunga bali Roho Mtakatifu aliwaongoza, naomba Mungu azidi kuwaongoza mtunge nyimbo nzuri zaidi na zenye nguvu ya Mungu pasipo kutegemea akili zenu,, barikiwa sana,, natamani kuona nyimbo kama hizi tena, God bless you..
-
I still don't understand why this of our generation can't sing such spiritual songs.personally listened to this song since I was young and not stopping anytime soon.
-
The Great Singers of all Times I see Beatrice with her natural beauty till now keep up with your hubby.Sweet voice as always.
-
Wimbo wakiroho kweli. Waimbaji hawa Mungu awabariki
-
Hivi hii album ilitoka lini maana mie nakumbuka nimeanza kuiona na kuisikiliza mwaka 2002 mwanzoni!
-
Nimeanza kusikiliza wimbo huu tangu 1999 hadi leo ninaukubali
-
Vita imekoma hakika ' nyimbo hii itadumu vizazina vizazi waimbaji mtunzi nlishukiwa narohomtakatfu wakat wakatunga nakuimba hi nyimbo
-
Toka mdogo nilikua naipenda Sana huu wimbo mpaka sasa 2022 mbarikiwe Sana waimbaji wote.
-
Haleluya! Kwa kweli natamani siku zirud nyuma. Mungu awainue watumishi wa Bwana mzidi kushikamana na muepuka migawanyo ili kwaya hiyo idumu daima. Tambueni kuwa mnawaponya na kuwavuta wengi kwa Kristo. Fanyeni kama kwa Kristo!
-
2020❤️ like hapa
-
Daaa nakumbuka mbali sana. Wimbo mtamu sana, yaani unajikuta tayari uko mbinguni!
-
Ahsante sana Bwana Yesu kwa kunikomboa kutoka katika utumwa wa dhambi
-
Naupendaga sana winbo huu hakika utaishi mile huu wimbo
-
Dada Angu Beatrice Na Waimbaji wote mbarikiwe Sana nimekumbuka mbali Sana Aisee Ni mda now tushakua watu wazima saivi Ni kwa Neema tu My all time Choir of all time🙏
-
2021 feb 28 be blessed
-
Amina Beatrice mhone nakupenda sana
-
Nilikuwa naupenda huu wimbo sana mbarikiwe miaka hiyo nskumbuka mbali nikiwa napita kwenye dhiki nikiimba huu wimbo nafarijika
-
Natatamani kuwabariki na big lunch...35 yrs listening to this album
-
Hakika hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana