LISSU atua TZ anena KUTUMBULIWA kwa NAPE na MAKAMBA, MSIGWA kuhamia CCM na MGOGORO ndani ya CHADEMA
87,660
Published 2024-07-26
All Comments (21)
-
Wooooooooh muujiza unatembea amerudi Tanzanian we are so proud of you. Warmly welcome back. Na iringa tumeandaa kumpa kura mgombea urais na ubunge CHADEMA
-
Close mh lissu❤❤❤ tumekukumbuka sana well come again tz.
-
Lissu karibu sana wewe ni Muujiza unaishi endelea kumuhofu Mungu aliyekulinda na maadui waliokuwa wanataka kukumaliza.
-
Mheshimiwa Lisu umeongea vizuri,karibu sana
-
Shukran kiongozi kwa uhakiki wa viwango vya juu Sana.
-
Huyu ndo mtu ambae akijib hoja hua naridhika nazo sana
-
Chuma imerudi kutoka ubeligji, msigwa atalimia meno, hk chuma kiski cha mpingo
-
Mungu akubariki saaaana
-
Mungu akubariki baba Lissu
-
MASIKINI LISSU KWISHA KAWA MZEE KAMA ANAMIYAKA 100 NILISEMA MIYAKA MIWILI ILIOPITA LISSU ATAKUWA KAMA JON MACEN WA REPAPLICI WA MAREKANI KAPEWA CHANSI NA CHAMA CHAKE MARA NEE 4 HAKUPATA MPAKA AMEFARIKI DUNIA ALIKUWA NAMDOMO KUSHINDA LISSU
-
Ohoooh wanaccm msiyempenda kaja...
-
Nyie mbwa mbona mnakata kata maneno lisu yenye point😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
-
Lisu karibu nyumbani mzee
-
Karibu Sana lisu
-
mnapoteza muda2 lisu mama ni mama 2na ndio tuna Iman kubwa mno na raisi wetu mama yetu mm samia tuna mpenda mnoooo❤❤❤❤
-
Mkimbizi karudi nadhani akili sasa ndo basi tena msema ovyoo 🤣🤣🤣
-
jmni Mh Lissu ni mtu wa wapi? songea au? mtu poa sana huyu jmni
-
NIMEKUELEWA SANA KWAMBA KUHAMA KWA MSIGWA KUSINGEKUWA NA KELELE UNGESHANGAA SANA!!!
-
Big up broo unaongea vzur had nashawishka kukupa kura yangu
-
Wewew acha kumchezea magufuli