EXCLUSIVE: DAHUU WA CLOUDS - AELEZEA STORY YAKE YA KUONANA NA MZUNGU AMBAE HAKUWA ANAFAHAMIANA NAE
111,963
Published 2021-01-09
Familia yake, mume wake, kazi yake, safari yake, mafanikio yake na mengi mengine
All Comments (21)
-
One of the excellent interviews Zamaradi. Wote muko vizuri inakufanya upende kusikiliza mwanzo mwisho. Dahuu mbali ya kuwa very strong lady amshukuru Allah kwa kumpa bahati pia ya kufanikiwa katika mambo mengi. Namuona atafika mbali zaidi namshauri aanze sasa kufikiria pakubwa zaidi ya kuwa hapo alipo Inahalah atafanikiwa.
-
One of the best interview 👌 nimeenjoy Sana❤️❤️❤️❤️
-
Imani ni kilakitu kwenye maisha asa ukimuamini mungu
-
Fantastic, mume wako ni kama wangu surely umeongea kweli wanawake wengi wanapenda wanaume ambao wako proud na wake zao,ila hii inategemea na aina ya mwanamke
-
Dahuu mashalwa M.mungu akuongoze kwa kila jambo nimekupenda bure mtu mwenye khofu ya M.mungu. M.mungu akupe umri swali wa kufanya mema.
-
dahuu nakukubalii sanaa upo real hana kuigizaa maishaa mungu akupe maisha marefu kwenye ndoto zako
-
Nice interview 👏🏾👏🏾👏🏾 Hongera sana husna.wewe ni jembe. Mzungu anasemaga “you can't beat a person who never gives up”
-
Nampenda sana da huu na mpenzi sana wa leo tena,una sauti nzuri mnoo dada na kipindi chenu mnaelemisha sanaa jamii nawapenda
-
Alhamdulillah, MashaAllah ☺ nimeelimika na nimeburudika. Nakukubali dada Husna, dada Zama hongera kwa exclusive nzuri
-
Akili nyingi sana Da'huu, yaani umakini kama wote, nimefiatilia hii interview mwanzo hadi mwisho kwakweli binafsi nimekuelewa sana. Mungu akuhifadhi akupe kila lililo jema.
-
waooo, hongera ktk safari ya maisha mwiko kukata tamaa
-
Jm watu wanatoka mbali. Very nice interview.Dahu Mashaalah.
-
Daah nimecheka chozi limenitoka nimejifunza kitu kutoka kwako da huu mungu azid kukupa uwezo zaid inshaallah upo vizuri
-
GEA plz wow Nampenda sana huyu dada na GEA plz nataka kuwajua wote kwenye kipindi chao "LEO TENA" Ila sio mwijaku hao wengine NAOMBA ZAMA PLZ PLZ🎊🎊🎊🎊🙏 Asante ZAMA WANGU NIMEFURAHI KUMSIKIA HUSNA
-
Ata mm nimesafili sijui napoenda sijui naenda kwa nani na atalugha sijui lkn nashukulu nipo mbaka Leo hii kuamini mungu tu
-
Nimejifunza kitu kikubwa maishani kua binadamu hatakiwi kukata tamaa katika maisha ..Best interview ever Zama your the best!!!
-
Nme enjoooooy sanaaa kuskiliza best interview cc @zamaradi @dahuuu
-
Such a sweet dad, Money is not everything but love is❤️❤️, BIG UP TO ALL SUPPORTING DADS. Husna Nimekupenda Bure, you are such a strong woman, umenifanya nikutazame kwa namna tofauti sana.
-
Hongera sana huu, wewe ni shujaa, mchakarikaji usiyekata tamaa. Hayo ndio maisha bila.kukata tamaa
-
Interviews zako da Zama zina vingi vya kujifunza, keep it up