KOREA KASKAZINI ina BALAA! KIM JONG UN azindua Makazi 10,000 ya KIFAHARI, watu wataishi BURE

Published 2024-04-21

All Comments (21)
  • @ebengapierre8826
    Wamarekani ivyo wao wivu umeshahanza uyu raisi wakorea ni fimbo sheria zake ni nzuri Korean kaska zini ni inchi nzuri ❤❤❤❤ apewe mahuwa yake
  • @user-ql6hg7fy9p
    Vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa kwetu Afrika, Afrika na Tanzania tunakwama kwa sababu tuna viongozi washereheshaji, ili tuendelee tunahitaji viongozi watendaji kama alivyokuwa JPM.
  • @user-ii6gs2jg4g
    Haya Mambo wamagharibi Hua hawazipendi kabisa wao wanataka waone kila siku binadamu wanateseka
  • @sund2553
    Tanzania bado tuna Tajirisha viongozi washibe kwanza 😅
  • @BONGOINMOTION
    Nchi ambazo zimekata na kupoteza culture Yao siku zote Huwa ni WA kuyumba yumba,,,ndio sawa na tz,n.korea ni nchi ambayo IPO connected na asili yake hivo lazima wawe na umoja na nguvu
  • @nizarrama225
    Hiyo gari ina ubora kuliko gari ya rais wa marekani, point of correction
  • @mohammedmfamau43
    Aisee vyombo vya habari vya magharibi ni watu wabaya sana sasa nani dikteta kim au wao?
  • @btsanime6138
    Marekani ni wapotoshaji wameisema vibaya north korea rais kim jung un vibaya nawakati yeye anapenda wanainchi wake vizuri sana.
  • Wamarekani hawapendi haya mambo ya free maana maisha yao wanategemea sana, hawana vyanzo vingine vikubwa vya mapato
  • @salehkhalfan7345
    Halaf kuna Muafrika mwenzetu kaaminishw kua Korea Kaskazini ni nch maskin kupita kias
  • @rashadally6871
    Kwani kuna ulazima kupata like... Acheni ujinga mama...
  • Skayi izimambo tunazipenda sana tenasan najiskiafalaja San kwaiyistoli naomba muendelezo 🇧🇮💐👊👊👊👊
  • @SM-fu1yv
    Mmarekani ni mdomo wala hawezi kupigana
  • DUNIA BILA WA MAGHARIIB INGEKUA PEPONI. WANAOWEKEWA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANASTAREHE. WANAOWEKA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANATAABIKA.