KOREA KASKAZINI ina BALAA! KIM JONG UN azindua Makazi 10,000 ya KIFAHARI, watu wataishi BURE
42,268
Published 2024-04-21
All Comments (21)
-
Hakun nchi ino uwezo wa nyuklia ikawa maskini duniani❤❤
-
Wamarekani ivyo wao wivu umeshahanza uyu raisi wakorea ni fimbo sheria zake ni nzuri Korean kaska zini ni inchi nzuri ❤❤❤❤ apewe mahuwa yake
-
Vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa kwetu Afrika, Afrika na Tanzania tunakwama kwa sababu tuna viongozi washereheshaji, ili tuendelee tunahitaji viongozi watendaji kama alivyokuwa JPM.
-
Haya Mambo wamagharibi Hua hawazipendi kabisa wao wanataka waone kila siku binadamu wanateseka
-
Endeleeni Kumuita Dikteta Lkn Yy Anajenga Nchi Yake
-
Tanzania bado tuna Tajirisha viongozi washibe kwanza 😅
-
Nchi ambazo zimekata na kupoteza culture Yao siku zote Huwa ni WA kuyumba yumba,,,ndio sawa na tz,n.korea ni nchi ambayo IPO connected na asili yake hivo lazima wawe na umoja na nguvu
-
Hiyo gari ina ubora kuliko gari ya rais wa marekani, point of correction
-
Magu aluanza hizi mishe sema ndo ivo
-
Aisee vyombo vya habari vya magharibi ni watu wabaya sana sasa nani dikteta kim au wao?
-
Marekani ni wapotoshaji wameisema vibaya north korea rais kim jung un vibaya nawakati yeye anapenda wanainchi wake vizuri sana.
-
Jamaa anajitahidi aendelee kujifunza. Kutupa habari za aina. Hii
-
Wamarekani hawapendi haya mambo ya free maana maisha yao wanategemea sana, hawana vyanzo vingine vikubwa vya mapato
-
Halaf kuna Muafrika mwenzetu kaaminishw kua Korea Kaskazini ni nch maskin kupita kias
-
Kwani kuna ulazima kupata like... Acheni ujinga mama...
-
Daaah kiduku ana akili nyingisana
-
Skayi izimambo tunazipenda sana tenasan najiskiafalaja San kwaiyistoli naomba muendelezo 🇧🇮💐👊👊👊👊
-
Mmarekani ni mdomo wala hawezi kupigana
-
DUNIA BILA WA MAGHARIIB INGEKUA PEPONI. WANAOWEKEWA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANASTAREHE. WANAOWEKA VIKWAZO WANANCHIWAAO WANATAABIKA.
-
Pamoja San from 🇧🇮💐🌹 tuponanyi