Jinsi hatari kubwa imeendelea kuwakodolea macho wakaazi wanaotumia daraja la Loresho-Kangemi

Published 2024-07-21
Hatari kubwa imeendelea kuwakodolea macho wakaazi wanaotumia daraja linalounganisha eneo la Loresho na soko la Kangemi kwenye barabara kuu ya Waiyaki. Hii ni kwa kuwa daraja hilo halijakamilika tangu lilipoanza kujengwa zaidi ya miaka miwili iliyopita. Wanafunzi na hata wahudumu wa soko hilo wakihatarisha maisha kila siku wanapovuka, huku wengine wakiendelea kuuguza majeraha. Mwanahabari Givens Chanzu ameandaa taarifa ifuatayo

All Comments (9)