#ZaNdaaani MWAMBA HATAKI KUBAKI / KAPOKEA OFA KWA MAJAYANTI WA DSM / TAJIRI KAVURUGWA ANAMLILIA

92,301
0
2024-05-02ใซๅ…ฑๆœ‰
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm

ใ‚ณใƒกใƒณใƒˆ (21)
  • @EmmanuelKishiwa
    Ricardo momo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… mwamba wa zandaaniiiiii kabisa wenye kukubali za ndani kabisaaaa njoeni tupige laikisi hapa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
  • @kingmakavely9861
    Code ya leo ilikua nyepesi sanaa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Kwa maslahi mapana ya kijana mwenzetu wa kitanzania kama kweli fursa za nje zipo wamwache aende banaa
  • @Midayakubet
    Kwli mzee baba wew nakukubali sana
  • @hassanparamana2215
    momo mzee wa code ngumu ๐Ÿ†๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ’ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ช
  • @raymondswed7358
    Kibu di Kibu dee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ni MWANANCHI.
  • @khajihamisi5054
    Uongo wa mchana huko!!! Kazi yenu kuwachonganisha watu! Hakuna kla bu professional itakwenda Kwa mchezaji aliye na mkataba wa zaidi ya miezi SITA,ikaenda Moja Kwa Moja Kwa mchezaji!!!
  • @zoharimohammed2942
    Hahaaaaa lakini awali kabisa aliwakataaa hao jamaa anakotaka kwenda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚sahzi anawakubali a tena
  • @BarakaStivin
    Bora umewambiya wanachanganya weka wazi tunaaribu mb kuwaskiliza nyinyi
  • @3malis
    Kibu denga ๐Ÿ˜‚
  • @ivanpatrick6479
    Mwamba aende tu akapeperushe bendera ya ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
  • @peteveprosper7186
    Iringa haisikiki kwa muda wa wiki tatu sasa hovyo kabisa jaman mbna hamko makinii