JE CHANJO HII NI 666
4,250
2021-01-27に共有
コメント (5)
-
Hata mkono wa kushoto lengo ni lilelile hio ni changa la macho tu.
-
Mzee acha kudanganya watu 666 haiwekwi kwenye kipaji cha uso au kwa mkono kama unavyofikiria 1.kuwekewa kwenye kipaji cha uso inamaanisha ni ile nia kuamua kutenda kinyume na sheria ya Mungu 2.mkono hutumiwa kutenda hivyo inawakirisha matendo maovu yaliyokatika kipaji cha uso
-
Tuko pamoj bb
-
Bishop, tutajuaje kama zina microchip au la..?😥 Wengine wanasema microchip ni ya kujua tu ni chanjo ngapi zimeshatumika,,, na sio kutrack watu.. It is kidogo confusing bishop 😥😭 Ndui nayo Tz tulichoma mkono wa kilia bishop...!